‪Bodi ya Filamu wametoa mchango kwa Wastara Juma

‪Bodi ya Filamu Tanzania kwa kushirikiana na Baraza la Sanaa la Taifa wametoa mchango wa kiasi cha shilingi Milioni moja kwa Msanii Wastara Issa kwa ajili ya kumwezesha kupata matibabu ya mguu wake.

Image may contain: 2 people, people smiling, people sitting