WAZIRI NDALICHAKO AKUTANA NA MKANGANYIKO

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Ndalichako afanya ziara ya kushtukiza katika Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Kampala apokelewa na wanafunzi huku uongozi wa shule ukikosekana.
Ashangazwa na wanachuo wa mwaka wa kwanza licha ya kufanyiwa utambulisho wa mazingira na uongozi wadaiwa kutofahamu viongozi wakuu wa chuo.
Image may contain: 3 people, people sitting and indoor